Gaza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya mji wa Gaza.
Ramani ya Kanda la Gaza pamoja na mji wa Gaza.

Gaza (kwa Kiarabu: غزة; kwa Kiebrania: עזה‎ 'azzah) ni mji mkubwa wa Ukanda wa Gaza ambao ni kati ya maeneo chini ya mamlaka ya Palestina. Ni makao ya ofisi nyingi za serikali ya Palestina.

Una wakazi 590,481 (2017).

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Gaza kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.